Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Tunapatikana Sinza kwa Remmy

Wednesday, April 25, 2012

NUKUU YA LEO KUTOKA KWA KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA TAIFA YA CCM ITIKADI NA UENEZI NAPE NNAUYE ..

Wabunge kujadili utendaji wa serikali yao ni haki na wajibu wao tena bila kujali itikadi zao! Upande wa pili ni muhimu serikali kuendelea kuwa wasikivu na kama mapungufu yaliyoibuliwa na wabunge ni ya kweli, serikali ichukue hatua bila kuchelewa, ili kunusuru matumizi mabovu ya rasilimali za nchi!!

No comments:

Post a Comment